Thursday, June 18, 2015

Hongera NMB kwa kuanzisha kadi za MasterCard

Hongera NMB kwa kuanzisha kadi za MasterCard. Kadi hizi zitawawezesha wateja wa Benki hii kutumia huduma za NMB popote duniani. Hakika haya ni mapinduzi makubwa kwa benki hii ambayo ni tegemeo kwa watanzania wengi.

Watanzania tujiunge na NMB kwa maendeleo yetu.

Kwa habari zaidi, tembelea NMB

mastercard

Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB Ndugu Mark Wiessing (katikati) 
na Makamu wa Rais wa MasterCard, Ukanda wa Sahara, 
Africa Ndugu Daniel Monehin wakisaini utoaji wa MasterCard 
milioni 1.5 hapa Tanzania. 
Chanzowww.nmbtz.com/


No comments:

Post a Comment