Hongera NMB kwa kuanzisha kadi za MasterCard. Kadi hizi zitawawezesha wateja wa Benki hii kutumia huduma za NMB popote duniani. Hakika haya ni mapinduzi makubwa kwa benki hii ambayo ni tegemeo kwa watanzania wengi.

Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB Ndugu Mark Wiessing (katikati)
na Makamu wa Rais wa MasterCard, Ukanda wa Sahara,
Africa Ndugu Daniel Monehin wakisaini utoaji wa MasterCard
milioni 1.5 hapa Tanzania.
na Makamu wa Rais wa MasterCard, Ukanda wa Sahara,
Africa Ndugu Daniel Monehin wakisaini utoaji wa MasterCard
milioni 1.5 hapa Tanzania.
Chanzo: www.nmbtz.com/
No comments:
Post a Comment