Friday, October 30, 2015

Hongera Ms NATU MSUYA kwa kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa BODI ya Wadhamini wa Mfuko wa Rais wa Kujitegemea (PTF)

Katika Picha: Ms Natu MSUYA kwenye picha ya pamoja na ujumbe toka Chuo cha NENU 
uchina ukiongozwa na Vice President Prof Gao Hang wa NENU pamoja na ujumbe wa DUCE ukiongozwa na 
Prof Joseph Buchweishaija, Makamu Mkuu wa Chuo/Utawala DUCE kwa ajili ya mazungumzo ya ushirikiano 24 Oktoba 2015

Hongera Ms NATU MSUYA kwa kuteuliwa na mamlaka husika kuwa Mwenyekiti wa BODI ya Wadhamini wa Mfuko wa Rais wa Kujitegemea (PTF). Blogu hii inatambua uwezo, weledi na uaminifu wako katika kazi mbalimbali ulizokuwa unafanya na unazofanya mpaka sasa. Blogu hii inaamini uwezo, weledi na uaminifu wako katika kazi utakuwezesha kufanya kazi vyema katika BODI hiyo. Mungu akulinde katika majukumu uliyopewa kwa taifa. Blogu hii inawashukuru wafuatao ambao kwa namna moja ama nyingine wamewezesha wewe NATU kufanya kazi kwa bidii na kuonekana na taifa kama vile Prof Rwekaza Mukandala (Makamu Mkuu wa UDSM), Prof William Anangisye (Mkuu wa chuo DUCE) na Prof Joseph Buchweishaija (Makamu Mkuu wa Chuo-Utawala/DUCE).

No comments:

Post a Comment