
Picha: taarifa.co.tz
Hongera Mh. DKT. JAKAYA KIKWETE kwa kumaliza uongozi salama kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Leo tarehe 05 Novemba 2015 katika uwanja wa UHURU jijini Dar es Salaam umemkabidhi kijiti cha uongozi Mh John Pombe Magufuli. Kwa kiasi kikubwa umejitahidi kuwatumikia wananchi. Blogu hii inasema ASANTE na upate mapunziko MEMA.
No comments:
Post a Comment