
Picha:pmoralg.go.tz
Hongera Mh. Kassim Majaliwa kwa kupendekezwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Waziri Mkuu mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Blogu hii haina shaka na utendaji na uzoefu wako serikalini na hasa ulipokuwa TAMISEMI. Aidha blogu hii inatambua umakini, hekima, busara na upole ulionao. Kwa sasa blogu hii inakupongeza na kukutakia kila la kheri wakati Bunge likisubiriwa kukupitisha.
No comments:
Post a Comment