
Picha:tanzaniatoday.co.tz
Asante WATANZANIA kwa kudumisha AMANI wakati na baada ya UCHAGUZI wa rais, wabunge na madiwani nchini Tanzania. Hakika Tanzania ni kisiwa cha AMANI. Blogu hii inawakumbusha watanzania wazidi kudumisha AMANI mara baada ya Rais wa AWAMU ya 5 kuapishwa. Blogu hii inasisitiza Mh. DKT. John Pombe MAGUFULI ni Rais wa WATANZANIA wote.
No comments:
Post a Comment