
Hongera Kamanda SIRRO kwa kuteuliwa kuwa IGP. Hakika unastahili nafasi hii kutokana na utendaji wako na hasa ulipokuwa kamanda wa mkoa wa Dar es Salaam. Blogu hii inakuomba uchape kazi ili nchi iwe na amani na usalama zaidi. Aidha blogu hii inampongeza rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania DKT John Pombe Magufuli kwa kumteua kamanda SIRRO mchapakazi.
No comments:
Post a Comment