Wednesday, August 12, 2015

Hongera UKAWA kwa kufanya maandamano makubwa yenye utulivu na amani nchini

Hongera UKAWA kwa kufanya maandamano yenye utulivu na amani. Tarehe 10/08/2015 itakuwa siku ya kukumbukwa hapa nchini Tanzania baada ya mgombea wa urais kwa tiketi ya Chadema kupitia UKAWA. Hakika blogu hii imefurahishwa na utulivu na amani ulioonyeshwa kupitia maandamano haya makubwa nchini. Maandamano haya yalikuwa ya kumsindikiza Mh Edward Lowassa kuchukua fomu za kugombea urais katika ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Blogu hii inaomba vyama vingine pamoja na wadau wengine kudumisha amani.

No comments:

Post a Comment