
Picha: NanaTv via Jamii Forums
Hongera Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh Paul MAKONDA kwa kuhamasisha na kuzindua barabara ya umbali wa kilomita MOJA iliyojengwa kwa kiwango cha ZEGE kurasini jijini Dar es Salaam. Inakisiwa barabara hiyo imegharimu kiasi cha Tshs 350 milioni.
Barabara hii kabla ya ukarabati huu ilikuwa korofi na hasa wakati wa mvua. Barabara hii baada ya ukarabati itasaidia kupitisha magari hasa malori ya mizigo toka bandarini.
Barabara hii kabla ya ukarabati huu ilikuwa korofi na hasa wakati wa mvua. Barabara hii baada ya ukarabati itasaidia kupitisha magari hasa malori ya mizigo toka bandarini.
Blogu hii imevutiwa na uchapakazi wako. Juhudi zako za kuifanya Dar es Salaam mpya hazitasahaulika kamwe. Blogu hii inawaomba viongozi wengine waige mfano wa MAKONDA katika kuwaletea wananchi maendeleo mikoani na wilayani nchini.
Endelea kuchapa kazi.
No comments:
Post a Comment