Tuesday, March 14, 2017

Hongera Mh MAKONDA kwa kuhamasisha na kuzindua barabara ya kiwango cha zege kurasini jijini DSM

Image may contain: one or more people, people standing, people walking and outdoor
PichaNanaTv via Jamii Forums

Hongera Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh Paul MAKONDA kwa kuhamasisha na kuzindua barabara ya umbali wa kilomita MOJA iliyojengwa kwa kiwango cha ZEGE kurasini jijini Dar es Salaam. Inakisiwa barabara hiyo imegharimu kiasi cha Tshs 350 milioni. 

Barabara hii kabla ya ukarabati huu ilikuwa korofi na hasa wakati wa mvua. Barabara hii baada ya ukarabati itasaidia kupitisha magari hasa malori ya mizigo toka bandarini.

Blogu hii imevutiwa na uchapakazi wako. Juhudi zako za kuifanya Dar es Salaam mpya hazitasahaulika kamwe. Blogu hii inawaomba viongozi wengine waige mfano wa MAKONDA katika kuwaletea wananchi maendeleo mikoani na wilayani nchini.

Endelea kuchapa kazi.

No comments:

Post a Comment