Monday, March 20, 2017

Mjue Rais wa 12 wa benki ya Dunia Bwana Jim Yong Kim

Jim Yong Kim 2015.jpg
Picha: wikipedia

Leo tarehe 20 Machi 2017, Tanzania imetembelewa na Rais wa Benki ya Dunia. Rais huyu ameshiriki pia katika uzinduzi wa ujenzi wa barabara za juu na chini (ubungo interchange). Benki ya Dunia imetoa mkopo wa riba nafuu kwa Tanzania katika masuala mbalimbali na hasa ujenzi wa miundombinu ya barabara. Ni vyema wanachi wa Tanzania wakajua historia fupi ya mtu huyu muhimu kwa Tanzania.

Jim Yong Kim (MD, PhD), amezaliwa Disemba 8, 1959. Ni mkorea kusini na taaluma yake ni daktari wa binadamu (physician) na pia ni "anthropologist" kwa sasa ni rais wa 12 wa Benki ya Dunia tangu Julai 1, 2012.


No comments:

Post a Comment