Picha: bbcswahili
Kama Ghana wameweza na sisi Tanzania tutaweza. Ghana ni mojawapo ya nchi ya Afrika na inayoendelea kama Tanzania, imeweza kutengeneza gari lake liitwalo "Kantanka" kama zilivyo nchi zilizoendelea kama Japan, Marekani, China, Australia na nyinginezo. Hakika hii ni hatua kubwa sana barani Afrika. Kwa watanzania na hasa kwa watunga sera na wasimamizi wa sera wakiwemo wataalamu toka vyuo vikuu na vyuo vya ufundi wakae na kuhakikisha Tanzania kupitia teknolojia inatangeneza magari na machine mbali mbali ambazo zitatumika ndani na nje ya nchi. Kama nchi tuwekeze kwenye utafiti na ubunifu zaidi.Kwa habari zaidi bofya hapa
No comments:
Post a Comment