
Hongera Chuo Kikuu Kishiriki cha Dar es Salaam (DUCE) kwa kuandaa kongamano la kimataifa la jinsia" DUCE 1st International Conference on Gender in Higher Learning Institutions".
Kwa hakika madhumuni ya kongamano hili la kimataifa ni kuibua mambo mbalimbali yahusuyo jinsia kwa mtizamo wa taasisi za elimu ya juu katika kutetea usawa wa kijinsia na haki za kibinadamu.


Blogu hii inatoa pongezi kwa uongozi mzima wa DUCE kwa kuandaa kongamano hili lililowakutanisha watafiti, wahadhiri na wanaharakati wa masuala ya jinsia na haki za kibinadamu duniani. Kwa maelezo zaidi tembelea hapa.

No comments:
Post a Comment