
Picha: twitter.com (Jakaya Kikwete)
Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mh Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mkewe Mama Mh Salma Rashid Kikwete pamoja na kijana wao nadhifu nje ya ukumbi wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dodoma. Mama Salma amekula kiapo cha kuwa MBUNGE ktk Bunge la Muungano, 04/04/2017
No comments:
Post a Comment