Wednesday, August 14, 2013

Maneno ya busara toka kwa Mh. Husna Mbwambo ambayo ni "Empowering the powerless is Development"

Blogu hii inapenda kutoa maneno ya busara toka kwa Mh. Husna Mbwambo: 
Mwanzo wa kunukuu "Empowering the powerless is Development" mwisho wa kunukuu. 
Blogu hii inatoa tafsiri isiyo rasmi ya maneno kwenda kwenye kiswahili "Kuwezesha wasionacho ni Maendeleo". Hakika maneno haya ni mazuri ambayo yanastahili kuigwa na wengine ili kuleta ustawi katika maisha ya mwanadamu. Blogu hii inampongeza Mh. Husna kwa busara zake.  Asante!!

No comments:

Post a Comment