Hongera TCRA kwa kuzindua kampeni
nzuri ya kuelimisha jamii ya kitanzania juu ya matumizi mazuri ya
mawasiliano. Katika uzinduzi huo TCRA imewatahadharisha wananchi kwa
ujumla kutotumia fursa ya kukua kwa kasi kwa teknolojia ya mawasiliano
vibaya, kama ilivyoanishwa katika Sheria ya Kielectroniki na
Posta ya mwaka 2010. Blogu hii inapenda kuipongeza TCRA na mkurugenzi
wake mkuu kwa kampeni hii. Pia blogu hii inapenda kampeni hii iwe
endelevu. Picha na chanzo cha habari: ippmedia.com
No comments:
Post a Comment