Hongera blogu ya "sekta ya mifugo Tanzania" ambayo lengo lake kuu ni kuwasaidia wafugaji nchini Tanzania kupata elimu bora ya kisasa ya ufugaji ili waweze kupata matokeo mazuri na kuwasaidia kupata kipato kwa kupunguza hasara ambazo zinaweza kutokea kutokana na magonjwa mbalimbali.
Blogu ya "tuijengetanzania" inaipongeza blogu ya "sekta ya mifugo Tanzania" kwa kuanzisha blogu inayowasaidia wafugaji nchini ili kuwasaidia katika kupambana na changamoto za ufugaji kama vile magonjwa ili kuweza kuwafanya wafugaji kupata faida kubwa.
Wadau wa ufugaji na hasa wafugaji wadogo wadogo nchini Tanzania wanaombwa kutembelea blogu ya "sekta ya mifugo Tanzania" ili kuweza kupata taarifa na maarifa juu ya ufugaji. Taarifa na maarifa watakayopata yatawafanya waepuke magonjwa na kuweza kujua dalili, kinga na matibabu ya magonjwa ya wanyama wafungwao na kupata faida kubwa.
No comments:
Post a Comment