BUSARA toka kwa Mh. Husna Mbwambo
Nimenukuu
" Serikali ya Tanzania imeonesha uwezo mkubwa wa diplomasia ktk miaka
ya karibuni, imeweza kujenga urafiki na jamii na taasisi nyingi za
kimataifa hata zile ambazo zinapingana" ....................... "sio
kazi ndogo kujenga urafiki na vyama viwili vinavyokinzana, mfano vile
vya marekani mpaka kufikia kuwakutanisha BUSH na OBAMA nchini".
..................... "nakumbuka hii ilitokea kipindi cha mwl miaka ya
70 tz ilivyopata baa la njaa. Mwl aliweza kujenga urafiki na mataifa
kama marekani na urusi na yote yaliisaidia tz wakati mataifa haya yakiwa
mahasimu wakubwa" ~~~ ..............
Mwisho wa kunukuu.
No comments:
Post a Comment