- Msitu wa Ugalla
- Mbuga ya Mahale
- Gombe
- Mlima wa Udzungwa
- Mbuga ya Ruaha
- Mbuga ya Mikumi
- Mbuga ya Saadani
- Manyara
- Tarangire
- Arusha
- Kilwa kisiwani
- Mlima Kilimanjaro
- Ziwa Victoria
- Mbuga ya Serengeti
- Kisiwa cha Mafia
- Ngorongoro
- Vivutio vya utalii mkoa wa Lindi
- Selous
- Zanzibar na Pemba
- Olduvai
- Bagamoyo
Tuchangamkie utalii wa ndani. Napenda kutoa wito kwa mashule, vyuo, idara za serikali, mashirika ya umma na watu binafsi pamoja na wananchi kwa ujumla kuwa na utaratibu na utamaduni wa kutembelea vivutio vya kitalii hapa nchini. Kwa kufanya hivyo tutakuwa tumeenzi vivutio vyetu na kuongeza pato la taifa kupitia utallii wa ndani.
No comments:
Post a Comment