Blogu hii ni kwa ajili ya kuonyesha, kupongeza na kuhamasisha juhudi ama mambo yoyote ya kimaendeleo yanayofanyika ndani na nje ya Tanzania kwa faida ya watanzania wote.
Pongezi TEA na Airtel kwa kuboresha elimu Tanzania
Tunapenda kutoa pongezi kwa mamlaka ya elimu (TEA) na kampuni ya simu
ya Airtel kwa kufikiria kutenga milioni 150 kwa ajili ya kununua vitabu vya sayansi kwa shule mia nchini jambo ambalo litaboresha elimu nchini na kuinua kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi. Chanzo: ippmedia
No comments:
Post a Comment