Monday, July 29, 2013

Hongera AZAM kwa kupanga kurusha matangazo ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara

Hongera SSB kampuni ya AZAM kwa kupanga kurusha matangazo ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Hatua hii ni ya kujivunia si tu kwa vilabu bali pia kwa wapenzi wote wa soka ndani na nje ya Tanzania. Moja ya faida ya kufanya hivi ni wachezaji kupata soko la kimataifa na baadhi ya klabu ndogo kupata mapato ya kuendesha klabu zao. Kampuni ya Said Salim Bakhresa (SSB) ambayo inayomiliki klabu ya Azam FC itatenga 1.5 bilioni kwa timu zote za ligi kuu Bara msimu ujao ili kurusha moja kwa moja matangazo kupitia televisheni iitwayo AZAM TV. Kwa habari zaidi wasiliana na kitongojini



Picha:http: kitongoni.blogspot.com

No comments:

Post a Comment