
Hongera Sir Leodegar Tenga kwa kuteuliwa kuwa Rais wa Kamati ya Usimamizi wa Leseni za Klabu, katika Shirikisho la Mpira wa Miguu wa Afrika (CAF). Hakika unastahili kushika nafasi hii. Blogu hii inatambua heshima na weledi wako tangu ulipokuwa Rais wa heshima wa TFF. Blogu hii inakuomba kutumia uzoefu wako katika nafasi uliyopata kuisaidia Tanzania katika soka na hasa katika ushauri kwa klabu zetu nchini.
No comments:
Post a Comment