
Kila la kheri Serengeti Boys kwenye mashindano ya Afrika chini ya miaka 17 nchini Gabon. Blogu hii imefarijika sana na maandalizi chini ya Rais wa TFF Jamal Malinzi na benchi la ufundi. Aidha watanzania wana matumaini makubwa kutokana na mechi za majaribio za timu hii ilizocheza. Watanzania tupo nyuma yenu.
No comments:
Post a Comment