Monday, May 1, 2017

Hongera DAS wa wilaya ya Nachingwea, Mh Husna Sekiboko kwa kuhimiza suala la usafi kwa vitendo

Image may contain: 1 person, standing, outdoor and nature
Hongera DAS wa wilaya ya Nachingwea, Mh Husna Sekiboko kwa kuhimiza suala la usafi kwa vitendo katika wilaya yako. Blogu hii imefurahishwa sana kwa jinsi unavyoongoza wilaya hii kwa vitendo. Blogu hii inapenda kukutia moyo na hamasa uendelee kuwatumikia watanzania kikamilifu. Blogu hii inaomba watendaji walio chini ya DAS huyu mchapakazi waweze kuweka utaratibu endelevu wa usafi. 

Image may contain: 1 person, standing, shoes, grass, outdoor and nature
Aidha blogu hii inawaomba viongozi wengine waige mfano mwema wa DAS wa Nachingwea, Mh Husna ili Tanzania iweze kupata maendeleo yanayostahili.

Image may contain: one or more people, people standing, grass, tree, shoes, outdoor and nature

No comments:

Post a Comment