
Hongera DAS wa wilaya ya Nachingwea, Mh Husna Sekiboko kwa kuhimiza suala la usafi kwa vitendo katika wilaya yako. Blogu hii imefurahishwa sana kwa jinsi unavyoongoza wilaya hii kwa vitendo. Blogu hii inapenda kukutia moyo na hamasa uendelee kuwatumikia watanzania kikamilifu. Blogu hii inaomba watendaji walio chini ya DAS huyu mchapakazi waweze kuweka utaratibu endelevu wa usafi.

Aidha blogu hii inawaomba viongozi wengine waige mfano mwema wa DAS wa Nachingwea, Mh Husna ili Tanzania iweze kupata maendeleo yanayostahili.

No comments:
Post a Comment